Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+

      “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi wakaja Yerusalemu wakiwa na vinanda+ na vinubi+ na tarumbeta,+ kwenye nyumba ya Yehova.+

  • Yeremia 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi, sauti ya wale wanaosema: “Msifuni Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo!”’+

      “‘Watakuwa wakileta toleo la shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitawarudisha mateka wa nchi kama pale mwanzoni,’+ Yehova amesema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki