8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+
5 Asafu+ akiwa kichwa, na wa pili kwake Zekaria, na Yeieli na Shemiramothi na Yehieli na Matithia na Eliabu na Benaya na Obed-edomu na Yeieli,+ wakiwa na vyombo vya aina ya vinanda na vinubi,+ na Asafu+ akiwa na matoazi akiyapiga kwa sauti,+