1 Mambo ya Nyakati 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na pamoja nao ndugu zao wa mgawanyo wa pili,+ Zekaria,+ Beni na Yaazieli na Shemiramothi na Yehieli na Uni, Eliabu na Benaya na Maaseya na Matithia na Elifelehu na Mikneya, na Obed-edomu+ na Yeieli watunza-malango,
18 na pamoja nao ndugu zao wa mgawanyo wa pili,+ Zekaria,+ Beni na Yaazieli na Shemiramothi na Yehieli na Uni, Eliabu na Benaya na Maaseya na Matithia na Elifelehu na Mikneya, na Obed-edomu+ na Yeieli watunza-malango,