Hesabu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu. 1 Mambo ya Nyakati 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na Shebania na Yoshafati na Nethaneli na Amasai na Zekaria na Benaya na Eliezeri makuhani wakizipiga tarumbeta+ kwa sauti kubwa mbele ya sanduku la Mungu wa kweli, na Obed-edomu na Yehia watunza-malango wa Sanduku. 2 Mambo ya Nyakati 29:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+
8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu.
24 na Shebania na Yoshafati na Nethaneli na Amasai na Zekaria na Benaya na Eliezeri makuhani wakizipiga tarumbeta+ kwa sauti kubwa mbele ya sanduku la Mungu wa kweli, na Obed-edomu na Yehia watunza-malango wa Sanduku.
26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+