Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na Benaya na Yahazieli makuhani wakiwa na tarumbeta+ daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi wakamwapia+ Yehova kwa sauti kubwa na kwa sauti za shangwe na kwa tarumbeta na kwa baragumu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ yake katika mwingilio, na wakuu+ na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi walikuwa wakishangilia+ na kupiga+ tarumbeta, na waimbaji+ walikuwa na vyombo vya nyimbo na wale wanaotoa ishara za kutoa sifa. Athalia akayararua mavazi yake mara moja na kusema: “Ni hila! Ni hila!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki