39 Kisha Sadoki kuhani akachukua pembe ya mafuta+ kutoka katika hema,+ akamtia mafuta+ Sulemani; nao wakaanza kupiga baragumu, na watu wote wakaanza kusema kwa sauti: “Mfalme Sulemani na aishi!”+
13 Kwa hiyo wakafanya haraka, kila mmoja wao akachukua vazi+ lake na kulitandika chini yake juu ya zile ngazi zilizo wazi, nao wakaanza kupiga baragumu,+ wakisema: “Yehu amekuwa mfalme!”+