25 Kisha utafanya kutokana nayo mafuta matakatifu ya kutia mafuta, marhamu, mchanganyiko wa kazi ya mtengenezaji wa marhamu.+ Yatakuwa mafuta matakatifu ya kutia mafuta.+
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+