Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nalo kusanyiko+ lazima limkomboe muuaji asiyekusudia kutoka mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu, nalo kusanyiko litamrudisha katika jiji lake la makimbilio alilokuwa amekimbilia, naye atakaa humo mpaka kifo cha kuhani mkuu aliyetiwa mafuta kwa kutumia mafuta matakatifu.+

  • Zaburi 89:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nimemwona Daudi mtumishi wangu;+

      Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta,+

  • Zaburi 133:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni kama mafuta mazuri juu ya kichwa,+

      Yanayoshuka juu ya ndevu,

      Ndevu za Haruni,+

      Yanayoshuka kwenye ukosi wa mavazi yake.+

  • Waebrania 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki