25 Nalo kusanyiko+ lazima limkomboe muuaji asiyekusudia kutoka mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu, nalo kusanyiko litamrudisha katika jiji lake la makimbilio alilokuwa amekimbilia, naye atakaa humo mpaka kifo cha kuhani mkuu aliyetiwa mafuta kwa kutumia mafuta matakatifu.+