Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Musa akawatuma, watu elfu moja wa kila kabila, kwenye jeshi, wao na Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwenye jeshi, na vile vyombo vitakatifu na zile tarumbeta+ za kupiga mbiu zilikuwa mkononi mwake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na Shebania na Yoshafati na Nethaneli na Amasai na Zekaria na Benaya na Eliezeri makuhani wakizipiga tarumbeta+ kwa sauti kubwa mbele ya sanduku la Mungu wa kweli, na Obed-edomu na Yehia watunza-malango wa Sanduku.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na Benaya na Yahazieli makuhani wakiwa na tarumbeta+ daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+

  • Nehemia 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 pia wana wa makuhani wakiwa na tarumbeta,+ Zekaria mwana wa Yonathani mwana wa Shemaya mwana wa Matania mwana wa Mikaya mwana wa Zakuri+ mwana wa Asafu,+

  • Nehemia 12:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 na makuhani, Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria, Hanania wakiwa na tarumbeta,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki