6 Ndipo Musa akawatuma, watu elfu moja wa kila kabila, kwenye jeshi, wao na Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwenye jeshi, na vile vyombo vitakatifu na zile tarumbeta+ za kupiga mbiu zilikuwa mkononi mwake.
24 na Shebania na Yoshafati na Nethaneli na Amasai na Zekaria na Benaya na Eliezeri makuhani wakizipiga tarumbeta+ kwa sauti kubwa mbele ya sanduku la Mungu wa kweli, na Obed-edomu na Yehia watunza-malango wa Sanduku.
35 pia wana wa makuhani wakiwa na tarumbeta,+ Zekaria mwana wa Yonathani mwana wa Shemaya mwana wa Matania mwana wa Mikaya mwana wa Zakuri+ mwana wa Asafu,+