Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+ Isaya 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+
4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.