Zaburi 89:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimeapa mara moja katika utakatifu wangu,+Sitamwambia Daudi uwongo.+ Tito 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+ Waebrania 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.
2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.