Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+

  • Zaburi 110:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+

      “Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+

      Kwa mfano wa Melkizedeki!”+

  • Isaya 45:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe+—neno limetoka kinywani mwangu katika uadilifu,+ hivi kwamba halitarudi+—kwamba kila goti litapigwa mbele zangu,+ kila ulimi utaapa,+

  • Isaya 55:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+

  • Yeremia 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki