23 Nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe+—neno limetoka kinywani mwangu katika uadilifu,+ hivi kwamba halitarudi+—kwamba kila goti litapigwa mbele zangu,+ kila ulimi utaapa,+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+