4 Na Yehova atatimiza ahadi aliyotoa kunihusu aliposema hivi: ‘Ikiwa wana wako wataikazia uangalifu njia yao kwa kutembea kwa uaminifu mbele zangu kwa moyo wao wote na kwa nafsi yao yote,+ hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’+