1 Wafalme 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na jambo hilo likaja kusababisha dhambi,+ na watu wakaanza kwenda mpaka kule Dani mbele ya yule aliyekuwa huko. 1 Wafalme 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+ 1 Wafalme 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+
30 Na jambo hilo likaja kusababisha dhambi,+ na watu wakaanza kwenda mpaka kule Dani mbele ya yule aliyekuwa huko.
34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+
16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+