Kutoka 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Musa akarudi kwa Yehova, akasema: “Ah, watu hawa wametenda dhambi kubwa, kwa kuwa wamejifanyia mungu wa dhahabu!+ 1 Samweli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+ 1 Wafalme 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+
31 Basi Musa akarudi kwa Yehova, akasema: “Ah, watu hawa wametenda dhambi kubwa, kwa kuwa wamejifanyia mungu wa dhahabu!+
17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+
16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+