1 Wafalme 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na pia Yehova amesema hivi kuhusu Yezebeli, ‘Mbwa watamla Yezebeli katika uwanja wa shamba la Yezreeli.+ Yeremia 36:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.
23 Na pia Yehova amesema hivi kuhusu Yezebeli, ‘Mbwa watamla Yezebeli katika uwanja wa shamba la Yezreeli.+
30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.