1 Wafalme 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Nabothi akamwambia Ahabu: “Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu.”+
3 Lakini Nabothi akamwambia Ahabu: “Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu.”+