1 Wafalme 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye akatembea katika njia yote ya Yeroboamu mwana wa Nebati+ na katika dhambi yake ambayo kupitia hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi kwa kumtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sanamu zao za ubatili.+
26 Naye akatembea katika njia yote ya Yeroboamu mwana wa Nebati+ na katika dhambi yake ambayo kupitia hiyo alisababisha Israeli kutenda dhambi kwa kumtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sanamu zao za ubatili.+