1 Wafalme 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Alitembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi aliyokuwa amesababisha Waisraeli wafanye na kumkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kwa sanamu zao za ubatili.+
26 Alitembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi aliyokuwa amesababisha Waisraeli wafanye na kumkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kwa sanamu zao za ubatili.+