Kutoka 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Usieneze habari isiyo ya kweli.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kuwa shahidi anayepanga jeuri.+ Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.
15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.