Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao.

  • Mhubiri 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kuna ubatili unaofanyika duniani, kwamba kuna watu waadilifu wanaopatwa na mambo kana kwamba ni kazi ya waovu,+ na kuna waovu wanaopatwa na mambo kana kwamba ni kazi ya waadilifu.+ Nilisema hilo pia ni ubatili.

  • Habakuki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki