Methali 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwovu atachukua hata rushwa kifuani+ ili kupotosha mapito ya hukumu.+ Methali 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili mtu asinywe na kusahau jambo lililoagizwa na kupotosha haki ya yeyote wa wana wa mateso.+ Mhubiri 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Tena, nimeona chini ya jua mahali pa haki palipokuwa na uovu na mahali pa uadilifu ulipokuwa uovu.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.
16 Tena, nimeona chini ya jua mahali pa haki palipokuwa na uovu na mahali pa uadilifu ulipokuwa uovu.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.