Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+

  • Zaburi 82:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Mtaendelea kuhukumu bila haki mpaka wakati gani+

      Na kuonyesha ubaguzi kwa waovu?+ Sela.

  • Zaburi 94:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wao hushambulia vikali nafsi ya mwadilifu+

      Na kutangaza kwamba damu ya mtu asiye na hatia ni yenye uovu.+

  • Isaya 59:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na haki ililazimishwa kusonga nyuma,+ nao uadilifu uliendelea kusimama mbali.+ Kwa maana kweli imejikwaa hata katika kiwanja cha watu wote, na lililonyooka haliwezi kuingia.+

  • Mika 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mikono yao iko juu ya lililo baya, ili kulifanya vema;+ mkuu anaomba kitu, naye mwenye kuhukumu hufanya hivyo ili kupata thawabu,+ na mkubwa anasema tamaa iliyo katika nafsi yake mwenyewe;+ nao huisokota.

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki