Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Utakaa mbali na neno la uwongo.+ Nawe usimuue mtu asiye na hatia na yule aliye mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.+

  • 1 Wafalme 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+

  • Methali 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+

  • Matendo 7:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Na baada ya kumtupa nje ya jiji,+ wakaanza kumtupia mawe.+ Na wale mashahidi+ wakaweka chini mavazi yao ya nje miguuni pa kijana aliyeitwa Sauli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki