Mhubiri 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ukiona maskini wakikandamizwa kwa njia yoyote ile na haki na uadilifu zikikiukwa katika wilaya yenu, usishangazwe na jambo hilo.+ Kwa maana ofisa huyo mkuu anatazamwa na yule aliye juu zaidi yake, na kuna wengine walio juu zaidi yao. Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:8 Mnara wa Mlinzi (Funzo),9/2020, uku. 31 Mnara wa Mlinzi,7/1/1986, uku. 6
8 Ukiona maskini wakikandamizwa kwa njia yoyote ile na haki na uadilifu zikikiukwa katika wilaya yenu, usishangazwe na jambo hilo.+ Kwa maana ofisa huyo mkuu anatazamwa na yule aliye juu zaidi yake, na kuna wengine walio juu zaidi yao.