Mhubiri 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao. Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:8 Mnara wa Mlinzi (Funzo),9/2020, uku. 31 Mnara wa Mlinzi,7/1/1986, uku. 6
8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao.