Mhubiri 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuna jambo la ubatili* ambalo hutukia duniani: Kuna watu waadilifu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uovu,+ na kuna watu waovu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uadilifu.+ Nasema kwamba hili pia ni ubatili.
14 Kuna jambo la ubatili* ambalo hutukia duniani: Kuna watu waadilifu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uovu,+ na kuna watu waovu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uadilifu.+ Nasema kwamba hili pia ni ubatili.