Zaburi 50:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakati wowote ulipomwona mwizi, naam, ulipendezwa naye;+Nawe ulishirikiana na wazinzi.+ Habakuki 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+ Waroma 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya. 2 Petro 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+
12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+
32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.
15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+