Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wakati wowote ulipomwona mwizi, naam, ulipendezwa naye;+

      Nawe ulishirikiana na wazinzi.+

  • Habakuki 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+

  • Waroma 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.

  • 2 Petro 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wameiacha njia iliyo nyoofu, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu,+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki