1 Wafalme 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 tazama, ninafagia kabisa nikimfuata Baasha na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yake iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati.+ 1 Wafalme 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.
3 tazama, ninafagia kabisa nikimfuata Baasha na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yake iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati.+
11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.