1 Wafalme 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alipokuwa mfalme, mara tu alipoketi kwenye kiti chake cha ufalme, aliiangamiza nyumba yote ya Baasha. Hakumwacha mwanamume yeyote,* iwe ni mtu wake wa ukoo* au ni rafiki yake.
11 Alipokuwa mfalme, mara tu alipoketi kwenye kiti chake cha ufalme, aliiangamiza nyumba yote ya Baasha. Hakumwacha mwanamume yeyote,* iwe ni mtu wake wa ukoo* au ni rafiki yake.