1 Wafalme 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.
11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.