Hesabu 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Mlipiza-kisasi+ cha damu ndiye atakayemuua huyo muuaji wa kukusudia. Hapo atakapokutana naye atamuua. Hesabu 35:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+
19 “‘Mlipiza-kisasi+ cha damu ndiye atakayemuua huyo muuaji wa kukusudia. Hapo atakapokutana naye atamuua.
31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+