Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu yeyote wa Yeroboamu atakayekufa jijini, mbwa watamla;+ na yule atakayekufa shambani, ndege wa angani watamla,+ kwa sababu Yehova mwenyewe amesema hayo.”’

  • 1 Wafalme 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtu yeyote wa Baasha anayekufa jijini mbwa watamla; na mtu wake yeyote anayekufa shambani ndege wa mbinguni watamla.”+

  • Yeremia 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.

  • Ufunuo 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki