46 Leo Yehova atakutia mkononi mwangu,+ nami hakika nitakupiga na kukiondoa kichwa chako juu yako; nami leo nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama-mwitu wa dunia mizoga ya kambi ya Wafilisti;+ na watu wa dunia yote watajua kwamba kuna Mungu aliye wa Israeli.+
3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.
21 Lakini wale wengine wakauawa kabisa kwa ule upanga mrefu wa yule anayeketi juu ya farasi,+ upanga uliochomoza kinywani mwake.+ Na ndege+ wote wakashiba+ sehemu zao zenye nyama.+