1 Wafalme 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na ikawa kwamba mara tu alipokuwa mfalme, akaipiga nyumba yote ya Yeroboamu. Hakuacha yeyote wa Yeroboamu anayepumua abaki mpaka alipokuwa amewaangamiza, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,+
29 Na ikawa kwamba mara tu alipokuwa mfalme, akaipiga nyumba yote ya Yeroboamu. Hakuacha yeyote wa Yeroboamu anayepumua abaki mpaka alipokuwa amewaangamiza, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,+