Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+

  • Mhubiri 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Tena, nimeona chini ya jua mahali pa haki palipokuwa na uovu na mahali pa uadilifu ulipokuwa uovu.+

  • Amosi 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana nimejua hesabu za maasi+ yenu na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa,+ enyi mnaomwonyesha mtu mwadilifu uadui,+ ninyi mnaochukua pesa za hongo,+ na ambao mmewafukuza watu maskini+ langoni.+

  • Habakuki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki