21 Na itatukia kwamba wakati ambapo misiba mingi na taabu zitawajia,+ wimbo huu lazima pia utashuhudia mbele yao, kwa sababu haupaswi kusahauliwa katika vinywa vya uzao wao, kwa maana najua vema mwelekeo wao+ wanaousitawisha leo kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaapia.”
23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+
“‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”