Methali 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimnyang’anye mtu wa hali ya chini kwa sababu yeye ni wa hali ya chini,+ wala usimkandamize mwenye kuteseka langoni.+ Isaya 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ili kuwasukuma mbali watu wa hali ya chini kutoka kwenye kesi na kuwanyang’anya haki wale wanaoteseka kati ya watu wangu,+ ili wajane wawe nyara yao, na ili hata wapore wavulana wasio na baba!+
22 Usimnyang’anye mtu wa hali ya chini kwa sababu yeye ni wa hali ya chini,+ wala usimkandamize mwenye kuteseka langoni.+
2 ili kuwasukuma mbali watu wa hali ya chini kutoka kwenye kesi na kuwanyang’anya haki wale wanaoteseka kati ya watu wangu,+ ili wajane wawe nyara yao, na ili hata wapore wavulana wasio na baba!+