Kutoka 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Usipotoshe uamuzi wa hukumu wa mtu wako aliye maskini katika ubishi wake.+ Ayubu 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana nilikuwa nikimwokoa mwenye kuteseka anayelia apewe msaada,+Na mvulana asiye na baba na mtu yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+ Amosi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana nimejua hesabu za maasi+ yenu na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa,+ enyi mnaomwonyesha mtu mwadilifu uadui,+ ninyi mnaochukua pesa za hongo,+ na ambao mmewafukuza watu maskini+ langoni.+ Zekaria 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+
12 Kwa maana nilikuwa nikimwokoa mwenye kuteseka anayelia apewe msaada,+Na mvulana asiye na baba na mtu yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+
12 Kwa maana nimejua hesabu za maasi+ yenu na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa,+ enyi mnaomwonyesha mtu mwadilifu uadui,+ ninyi mnaochukua pesa za hongo,+ na ambao mmewafukuza watu maskini+ langoni.+
10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+