Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+ Amosi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+
6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+