Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Usipotoshe uamuzi wa hukumu wa mtu wako aliye maskini katika ubishi wake.+

  • Ezekieli 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Yoeli 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao waliwapigia kura watu wangu;+ nao walikuwa wakimtoa mtoto wa kiume ili kumpata kahaba,+ walimuuza mtoto wa kike wapate divai ili wanywe.

  • Amosi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, kwa sababu mnamtoza mtu wa hali ya chini kodi ya shamba,+ nanyi mnaendelea kuchukua kutoka kwake ushuru wa nafaka; mmejenga nyumba za mawe yaliyochongwa,+ lakini hamtaendelea kukaa ndani yake; nanyi mmepanda mashamba ya mizabibu yenye kupendeza, lakini hamtaendelea kunywa divai yake.+

  • Amosi 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ili tununue watu wa hali ya chini kwa fedha tu na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu, na ili tuuze takataka tupu ya nafaka?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki