Mambo ya Walawi 25:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+ Amosi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+
39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+
6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+