30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+
6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+