Amosi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+ Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:12 Ufahamu, uku. 734
12 Kwa maana ninajua jinsi maasi yenu* yalivyo mengiNa jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa—Mnawanyanyasa waadilifu,Mnapokea rushwa,*Nanyi mnawanyima maskini haki zao kwenye lango la jiji.+