Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+

  • Isaya 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+

  • Ezekieli 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Amosi 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+

  • Yakobo 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa hivyo, ninyi mmemvunjia heshima mtu maskini. Matajiri huwakandamiza+ ninyi, nao huwakokota ninyi na kuwapeleka mbele ya mahakama,+ sivyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki