Isaya 29:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wale ambao kwa neno la udanganyifu wanawafanya wengine wawe na hatia,Wanaotega mitego ili kumnasa mtetezi* katika lango la jiji,+Na wale ambao kwa mashtaka yasiyo na msingi humnyima haki mwadilifu.+
21 Wale ambao kwa neno la udanganyifu wanawafanya wengine wawe na hatia,Wanaotega mitego ili kumnasa mtetezi* katika lango la jiji,+Na wale ambao kwa mashtaka yasiyo na msingi humnyima haki mwadilifu.+