Isaya 29:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+
21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+