Mathayo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Mafarisayo wakaondoka, wakaenda na kushauriana pamoja kusudi wamtege kwa maneno yake.+ Luka 11:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 wakimtega,+ ili wapate+ kitu fulani kutoka kinywani mwake.