Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako.

  • Mambo ya Walawi 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Uchi wa binti-mkwe+ wako usiufunue. Yeye ni mke wa mwana wako. Usiufunue uchi wake.

  • Ezekieli 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+

  • 1 Wakorintho 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki