Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+